Unatakiwa kulinda “your privacy” katika laptop yako kwa sababu Pc yako inasikiliza mazungumzo yako ndio maana inaweza “suggest” vitu sawa na unavofikiria au ulivyoongea kupitia browser au mitandao ya kijamii kwa sababu kuna “settings” kwenye Pc yako inabidi uzizime ili usiweze trakiwa na kulinda usili wako let’s do this…..
Bonyeza “windows+ I ” kisha uta “turn off” setting zote zilizopo katika “privacy and security” screen

ukisha zizima izo settings apo utakuwa salama,